Saturday, September 29, 2018

RC HAPI AHITIMISHA ZIARA YA IRINGA MPYA

Na Amani Mbwaga, Iringa. "Leo nimehitimisha ziara ya Iringa mpya.Nimetembelea tarafa zote15 na kusafiri umbali wa KM 3345. Nimefanya mikutano mikubwa 20,midogo 65,kusikiliza kero mbalimbali 849 za wananchi na kukagua miradi ya maendeleo yenye thamani ya Sh bilioni 78.1.Asanteni sana wana Iringa,Nitarudi" RC Hapi

HABARI PICHA

















No comments:

Post a Comment