Wednesday, January 29, 2014

Makonda: Lowassa hafai kuwa Rais wa Tanzania wala Mwenyekiti wa CCM.



TAMKO LA JUMUIYA YA VIJANA KUUNGA MKONO KAZI YA SEKRETARIETI YA CHAMA CHA MAPINDUZI CHINI YA KATIBU MKUU NDUGU ABDULRAHAMAN KINANA

“..Chama Cha Siasa chochote duniani hubomoka kutokana na migongano iliyokithiri ya muda mrefu. Uzoefu wa vyama vikubwa vilivyoporomoka umeonyesha hivyo! Chama lazima kidhibiti uchu wa madaraka wa baadhi ya viongozi wake na ndani ya serikali yake...” – Dr Eginald P. Mihanjo

“..Chama cha siasa ni itikadi. Chama cha siasa ni siasa kwa maana halisi ya neno lenyewe siasa –“siasa”. Ni mahali ambapo watu wenye madhumuni mamoja yaliyoainishwa waziwazi hukutana na kuwa kitu kimoja. Chama cha siasa sio mkusanyiko wa “majini dume yenye tamaa”, - majini ambayo yametanguliza mbele tamaa kufa na kupona-tamaa ya kutengeneza pesa au kupata vyeo kwa gharama yoyote! – Dr Bashir Ally

UTANGULIZI:

Hili ni tamko la vijana makini wa jumuiya ya umoja wa vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) kuunga mkono juhudi na utendaji wa sekretarieti ya halmashauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi ikiongozwa na Katibu Mkuu Komredi Abdulrahaman Kinana.

Maneno ya utangulizi yamebeba dhima ya tamko hili, kufuatia taarifa zilizoripotiwa kwenye baadhi ya vyombo vya habari vikiwanukuu baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi, wakiwatuhumu Viongozi wa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM, Katibu Mkuu Ndugu Abdulrahaman Kinana na Katibu wa Itikadi na Uenezi Ndugu Nape Moses Nnauye.

Sisi Vijana tunatambua kuwa tuhuma hizo na maneno hayo ya hovyo yametolewa kwa nia ovu yenye kulenga kuwakatisha tamaa Viongozi hao wa Chama. Tunafahamu kuwa upo mkakati wa kiuhaini ulioandaliwa na kuratibiwa na “mtandao” ndani ya Chama ambao umejipanga kuendesha uhaini huo.

Sisi vijana wa UVCCM tunatambua na kuthamini juhudi za Katibu Mkuu na Sekretarieti yake katika kukijenga na kukiimarisha Chama kwa kuisimamia barabara misingi na shabaha ya kuundwa kwake, katika umri wetu hatukuwahi kuona Chama kikiwa karibu na wananchi kwa kufuatilia, kusikiliza na kushiriki katika utatuzi wa kero, shida na changamoto zao kama ilivyo katika kipindi hiki chini ya Comrade Kinana na timu yake. Juhudi hizi ni za kuungwa mkono na kamwe si za kubezwa na mwanaCCM muadilifu, muaminifu na mwenye mapenzi ya kweli kwa Chama.

Juhudi za kukiimarisha Chama kutoka ngazi za chini, kwa mabalozi ni mkakati bora kuwahi kutekelezwa na Chama, kukirudisha Chama kwa wanachama ni kutimiza lengo la kuundwa kwa Chama hiki, Chama hiki ni cha wanyonge, masikini wa Taifa hili, HAIWEZEKANI matajiri watake kukihodhi na waratibu mikakati ya kukihujumu kwa pesa zao hali sisi vijana tukitazama, tunasema tutakilinda Chama chetu na tutawalinda viongozi wetu waadilifu.

Ni hawa ambao wanabezwa leo ndio wameweza kurudisha Imani ya wananchi kwa Chama, Imani na matumaini ambayo tayari yalishaanza kupotea na Chama kuonekana si tena cha wanyonge, wakulima na wafanyakazi wan chi hii.

Ni Comrade Kinana na timu yake ndio waliozunguka kwenda kukutana na wakulima wa Pamba kule mikoa ya Kanda ya ziwa na kumpeleka balozi wa China na kumshawishi kujenga viwanda ili kuboresha manufaa kwa wakulima.

Ni Comrade Kinana na timu yake ndio waliokwenda Kusini kukutana na wakulima wa Korosho na kushirikiana nao pamoja na bodi kutatua tatizo la Korosho.

Ni Comrade Kinana na timu yake ndio walioibua hoja na kero za wafugaji, walimu na wananchi kwa ujumla, na kuwataka viongozi wa Serikali kuhakikisha wanawajibika kwa wananchi walipa kodi wa Taifa hili.

Kupinga mafanikio ya Ziara hizo ni kupinga utetezi wa wanyonge.

Mtu anayebeza ziara hizo na kuwaita Viongozi waliozifanya waropokaji na wahuni wahuni ni mtu mjinga, mtu wa hovyo,hana maadili, asiyekipenda Chama, mhaini na mzandiki anayepaswa kuchukuliwa hatua kali za kinidhamu ili iwe fundisho kwa wengine.

TAMKO hili limezingatia wosia wa Baba wa Taifa, muasisi wa Chama Cha Mapinduzi Mwl Julius Kambarage Nyerere katika kitabu Chake TUJISAHIHISHE.

“Inapofikia wasimamizi wa Kanuni za Chama wanapigwa vita ya wazi kwa uamuzi wao wa kukisimamia Chama, tafsir yake ni moja tu watu wanaowapiga vita hawakitakii mema chama chetu.”

Imetolewa na Paul Christian Makonda.

Katibu wa Hamasa na Chipukizi.

source: Jamii forums

Chelsea vs Arsenal live on BT Sport


Darren Fletcher and Michael OwenBT Sport’s Barclays Premier League live schedule for March features Manchester City and Manchester United as well. Want to know how to get BT Sport so you can see the championship contenders clash? Then read on.
BT Sport will show what could be one of the most crucial fixtures in the Barclays Premier League title race in March in the shape of Chelsea vs Arsenal.
As things currently stand, Arsene Wenger's team top the table, but Jose Mourinho's men are only two points behind in third place.
If the race for the prize remains as tight come 22 March, 2014, when the Gunners visit Stamford Bridge, the encounter could see the title ambitions of one side terminated.
Manchester City, currently sitting pretty in second place only one point behind Arsenal, will have a big say in one of the closest Premier League title races in some years. Their visit to Hull City, who have been formidable at home this season, on 15 March 2014 will also be shown live on BT Sport.
Reigning champions Manchester United may be looking down and out at the moment, with Moyes' men 14 points off the pace, but it'll be interesting to see what affect recent record signing Juan Mata will have on their form between now and March, when they'll be live on BT Sport twice.
The Red Devils visit to West Bromwich Albion, where new manager Pepe Mel is currently one game into his reign, on 8 March, 2014 and their game against Aston Villa, where Paul Lambert is currently trying to reassemble Norwich City circa 2012, at Old Trafford on 29 March, 2014, will both be shown.
Barclays Premier League matches to be shown exclusively live on BT Sport from 8 March, 2014 to 29 March, 2014
Date
Kick off
Home team
Away team
Saturday 8 March, 2014
12.45pm
West Bromwich Albion
Manchester United
Saturday 15 March, 2014
12.45pm
Hull City
Manchester City
Saturday 22 March, 2014
12.45pm
Chelsea
Arsenal
Saturday 29 March, 2014
12.45pm
Manchester United
Aston Villa
If you want to be able to watch the Premier League run-in on BT Sport, which shows 38 exclusively live Premier Leagues matches a season and has first choice of what to show in 18 of the 38 rounds of matches played, you can get it free online and on your mobile with BT broadband and BT Infinity.
Want it on TV? All three BT Sport channels - BT Sport 1, BT Sport 2 and ESPN - are free with either of the BT TV and BT Infinity bundles offered by BT, although you'll have to pay an extra £3 a month if you want them in HD, but you'll also get another five HD channels for your hard-earned coin.
If you live in an area where BT Infinity isn't currently available you can get BT Sport on Sky TV for free - or £3 a month for HD - with BT broadband. If you don't have BT broadband you can add BT Sport to Sky for £12 a month - £15 a month for HD - plus a one-off £15 activation fee through BT.
Got Plusnet broadband and Sky TV? Then you can add BT Sport to the latter for £5.99 a month, or £6.49 a month for HD. BT Sport is included in HD as standard with all Virgin Media TV XL packages. You can add it to any other Virgin Media TV package for £15 a month.
SOURCE: BT SPORTS.

Five things we learned from Manchester United win over Cardiff

Inside Old Trafford
crystiancruz
Latest Man Utd video - "Moyes surprised to sign Juan Mata"
Manchester United won 2-0 on Tuesday night through goals from Robin van Persie and Ashley Young, as Juan Mata started his first United game.
Below are five things learned from United's victory:
The gravity of the Mata signing was there for all to see
The former Chelsea man provided the players and the crowd with an inevitable lift as United made an impressive start against Cardiff. Much like Mesut Ozil's arrival at Arsenal, a superstar arriving at the club helped everyone forget the doom and gloom of recent weeks and inject an immediate positivity into the club. And again like Ozil, despite being a player many think United didn't necessarily need, he is the perfect individual to remind those at the club of its status, and ensure they are stepping up to that level. Ashley Young certainly responded, with his best performance of the season as he outshone United's record signing.
The Spaniard may take a while to adjust reach his Chelsea heights
Thrust in behind Robin van Persie, Mata had a decent game without being able to really impose himself on play. It's understandable after such limited time training with his new teammates that the World Cup winner would be a little off the pace, and the playmaker was somewhat short with some of his passing and the few opportunities he had on goal. It may take a few weeks at least for Mata to settle in and start to show some proper form again, but having displayed class for Valencia, Chelsea and Spain, what is sure is that it will only be a matter of time.
The match showed that United's midfield problems haven't been solved by Juan Mata's arrival
There were spells between the two goals that United struggled to assert their authority on the match, and it was easy to see that the central midfield continued to be the problem. It's strange that with Mata joining such strong attacking talent already at the club, there is a central defender and a 40-year-old employed in the most important area of the team. Surely that is the next area Moyes will be looking to spend money on.
A fit and on form Van Persie is as good as any signing
After featuring in just 2 of United's last 17 games because of injury before the Cardiff game, it's easy to forget how much a player of Van Persie's ability would be missed. That United have lost 5 and drawn 3 of those games only emphasises the fact further, and the Dutchman returned on Tuesday night to score his 11th goal in 17 games and provide the Reds with genuine quality upfront. If Moyes can keep him fit for the rest of the season he will surely fire the club onwards and upwards. 
Fitting Rooney and Januzaj alongside Mata will be a conundrum
Moyes started the two on the bench, with his new signing up front behind the returning Van Persie, and it will be some work to fit all four into his starting lineup. Van Persie, Rooney and Mata will all expect to be central figures at the club, while it would be harsh to drop the precociously talented Januzaj, who has at times carried United recently. The only way all could play would be if Mata and Januzaj operated as the wide players in an attacking midfield three, behind Van Persie and either side of Rooney, meaning that United would go on to lose the width they have historically been associated with.  
How should David Moyes employ Juan Mata in order to get the most out of his record signing?
image: © crystiancruz

Obama: Nitakabiliana na ukosefu wa usawa.


Rais Obama akitoa hotuba kwa taifa katika bunge la Congress
Rais Obama ametumia hotuba yake ya kila mwaka kwa taifa kuelezea jinsi atakavyotumia madaraka yake kujaribu kuimarisha uchumi wa marekani na pia kukabiliana na bunge la Congress ambalo linashuhudia mgawanyiko.
Bwana Obama ameutaja mwaka 2014 kuwa mwaka wa mafanikio kwa Marekani na kusema kuwa China sio tena mahali bora pa kuekeza bali ni marekani.
''Haya ndiyo matokeo ya juhudi zenu: kupunguza kiwango cha ukosefu wa ajira kwa kiwango kikubwa zaidi katika kipindi cha miaka mitano. Sekta ya nyumba na makaazi iliyofufuka. Sekta ya utengenezaji bidhaa inayobuni nafasi za ajira kwa mara ya kwanza tangu miaka ya tisini. Mafuta zaidi yanazalishwa hapa nyumbani ikilinganishwa na yale tunayonunua-hili limetokea kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka ishirini. Nakisi katika bajeti yetu ilipungua kwa zaidi ya nusu. Na kwa mara ya kwanza katika kipindi cha zaidi ya mwongo mmoja, viongozi wa kibiashara kote duniani, wametangaza kuwa China haiongozi tena kama eneo bora la kuekeza duniani bali ni marekani,'' amesema rais Obama.
Kadhalika bwana Obama amesema licha ya kushuhudia miaka minne ya ukuaji wa uchumi na faida kubwa iliyovunwa na makampuni, ukosefu wa usawa umezidi kukita mizizi nchini marekani.
Amesema ametoa mapendekezo ya kuimarisha ukuaji. Bwana Obama amesema:
''leo, baada ya ukuaji wa uchumi kwa kipindi cha miaka minne, faida za makampuni ya bei ya hisa zimekuwa juu, na zilizokuwa juu zimezidi kuwa bora. Lakini mishara ya wastani bado iko palepale. Ukosefu wa usawa umezidi kukita mizizi.''
Kuhusu usumbufu wa bunge la Congress, bwana Obama amesisitiza kuwa yuko tayari kuendelea kufanya kazi na wabunge wa Congress kurekebisha baadhi ya mambo, lakini hatasita kutumia fursa nyingi zitakazojitokeza kadri iwezekanavyo kuchukuwa hatua za kurekebisha mambo hata bila marekebisho ya sheria kupitia Congress.

source:bbc

Messi hauzwi, asema Bartomeu


Lionel Messi(kulia) akikabiliana na mchezaji wa klabu ya Malaga Juanmi
Mshambulizi matata wa Barcelona Lionel Messi hauzwi na kilabu hiyo inapanga kujadili mkataba mpya na raia huyo wa Argentina, amesema rais wa kilabu hiyo Josep Maria Bartomeu.
Kuna uvumi kuwa Messi ambaye ni mshindi mara nne wa tuzo la Ballo d'Or, mwenye umri wa miaka 26, analengwa na kilabu ya Ufaransa ya Pris St-Germain.
Katika mahojiano na kituo cha radio cha RAC1, yaliyonukuliwa katika mtandao wa Barcelona, Bartomeu anasema: "Kilabu kitaketi na kushauriana mkabala mpya. Tutafanya kila tunaloweza kuhakikisha kuwa yeye ndiye mchezaji anayelipwa mshahara bora zaidi."Lionel Messi ameshiriki pakubwa katika kusaidia Barcelona kufunga zaidi ya mabao 36 katika msimu huu na amekuwa katika kikosi cha ushindi mara 16 ati ya michezo 20 iliyochezwa.
Messi alipachika wavuni mabao 60 katika mechi 50 alimoshiriki katika msimu uliopita Messi lakini kwa sasa anajitahidi kufikisha mabao kama hayo msimu huu wa mwaka 2013-14.
Hadi kufikia sasa amefunga mabao 18 na manane kati ya hayo ndiyo aliyoyafunga katika Ligi, ingawa amesaidia kufunga mabao 36 katika mechi 20 alimoshiriki

Monday, January 27, 2014

Mourinho: ilikuwa vigumu kumwachia Mata


Juan Mata na Mzee Mourinho
Kocha wa klabu ya Chelsea Jose Mourinhoamesmea kuwa ulikuwa ni 'uamuzi mgumu' kwake kumwachilia mchezaji wa kiungo cha kati wa timu ya taifa ya Uhispania Juan Mata kujiunga na wapinzani wao katika ligi kuu ya England Manchester United.
Mata aliye na umri wa miaka, 25, ameandikisha rekodi ya uhamisho katika klabu ya Man United kwa baada ya kuuzwa na Chelsea kwa kititia kinono cha pauni milioni 37.1.
Akizungumza na BBC Mourinho amesema:
" Haya ni maamuzi ambaye mkufunzi anapaswa kufanya, lakini kwangu ilikuwa vigumu. Ningependa kuendelea kumwona katika kikosi changu bila shaka,"
Juan Mata na mkufunzi David Moyes wa Man United
"Lakini kuwa katika hali hii kwa mchezaji ni vigumu. Anastahili kuachiwa milango wazi katika Chelsea. Napenda kuwaona watu wakiwa na raha. Nasikitika sikuweza kumfurahisha katika kikosi hiki - nasikitika sana kwa hilo, lakini najenga kikosi changu nikizingatia mchezaji Oscar ambaye anacheza katika nafasi ya 10," anasema mzee Mourinho.
Mata amepewa jezi namba  7 mgongoni hapo man u.
source BBC.

Droo ya michuano ya kombe la FA


Kombe la FA
Droo ya michuano ya kombe la FA imefanywa kwa mechi za mchujo wa raundi ya tano.
Chelsea wamepangiwa kucheza na Manchester City katika mchezo unaotazamiwa kuwa na ushindani wa hali ya juu.

Droo kamili:

  • Manchester City v Chelsea

  • Sheffield United au Fulham v Nottingham Forest au Preston North End

  • Arsenal v Liverpool

  • Brighton & Hove Albion v Hull City

  • Cardiff City v Wigan Athletic

  • Sheffield Wednesday v Charlton Athletic

  • Sunderland v Southampton

  • Everton v Swansea City

Kocha wa Chelsea Jose Mourinho akizungumza punde baada ya droo hii amesema, "Iwapo unataka kuwa bora lazima ucheze na timu bora."Chelsea ambao wamefuzu kwenye raundi ya tano kwa kuiondosha Stoke City katika mchezo ambao ulimalizika kwa ushindi wa bao moja kwa bila.
Nao Manchester City wao walijikatia tiketi ya kufuzu michuano hiyo hatua ya tano kwa kuiadhibu Watford kwa mabao 4-2.
Liverpool wao watakuwa wageni wa Arsenal kwenye mchezo wa raundi ya tano.
Roberto Martinez ataiongoza Everton kukutana na timu yake ya zamani ya Swansea, ilihali Sunderland wao watacheza na Southampton ikiwa ni mechi liyokutanisha timu zote za ligi ya England.
Cardiff watakuwa nyumbani kuwakaribisha Wigan na Hull watacheza na Brighton. Sheffield Wednesday watapamabana na wenzao walioko kwenye ligi ya Championship, Charlton FC.
Mechi zote zitachezwa jumamosi na jumapili ya tarehe 15 na 16 mwezi wa pili.
Mshindi wa mechi kati ya Fulham ama Sheffield United atapambana na mshindi kati ya Nottingham Forest au Preston kwenye hatua ya raundi ya tano ya kombe hilo ambalo fainal yake itachezwa kwenye uwanja wa Wembley.

Source BBC.

Kiongozi wa Al Shabaab ashambuliwa


Wanajeshi wa AU wamekuwa wakipambana dhidi ya Al Shabaab na kuwafurusha kutoka Mogadihu
Jeshi la Marekani limefanya shambulizi la makombora dhidi ya mtu anayeshukiwa kuwa mmoja wa viongozi wa kundi la wanamgambo la al-Shabaab nchini Somalia.
Maafisa katika idara ya ulinzi wanasema kuwa wanajaribu kubaini ikiwa shambulizi hilo lilimuua mlengwa ambaye jina lake halijatajwa.

Al-Shabab linasemekana kuwa na uhusiani na kundi la kigaidi la Al-Qaeda.Shambulizi lililenga gari alimokuwa anasafiria mshukiwa huyo Kusini mwa Somalia karibu na mji wa Barawe.
Taarifa kutoka katika makao makuu ya ulinzi nchini Marekani zinasema kuwa mlengwa katika shambulizi hilo ni kiongozi wa makundi mawili ya kigaidi.
Mmoja wa viongozi wa al shababaab anaseama kuwa mshukiwa alikuwa Sahal Iskudhuq, kamanda mmoja wa al-Shabaab ambaye alikuwa na uhusiano wa karibu sana na kiongozi wa kundi la kigaidi la Al Qaeeda.
Hata hivyo hakuna uhakika ikiwa mshukiwa huyo ameuawa.
Marekani iliwahi kufanya shambulizi ambalo lilitibuka dhidi ya mmoja wa viongozi wa kundi hilo katika eneo la Barawe - linalosemekana kuwa ngome kuu ya Al Shabaab mwezi Oktoba.
Al Shabaa waliohusika na mashambulizi ya kigaidi katika jengo la maduka la Westgate, limedhoofishwa na mapambano dhidi yao kutoka kwa wanajeshi wa Muungano wa Afrika
Kusini na Kati mwa Somalia.
Marekani nayo imejitolea sana kukabiliana na kundi hilo kwa kutuma kikosi cha ushauri wa kijeshi mjini Mogadishu.
SOURCE BBC.

Monday, January 20, 2014

UHAMISHO NA UTEUZI WA MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI


Picture: Ikulu Logo - Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri, Januari 2014


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

UHAMISHO NA UTEUZI WA MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI
_______________________________________


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amewahamisha na kuwateua baadhi ya Mawaziri na Naibu Mawaziri kama ifuatavyo:-
1.0       OFISI YA RAISHakuna mabadiliko.

2.0       OFISI YA MAKAMU WA RAIS

2.1  Waziri wa Nchi (Muungano) - Hakuna mabadiliko

2.2   Mhe. Eng. Dr. Binilith Satano MAHENGE (Mb)
            Waziri wa Nchi (Mazingira).

2.3    Mhe. Ummy Ali MWALIMU (Mb)
             Naibu Waziri


3.0       OFISI YA WAZIRI MKUUHakuna mabadiliko


            4.0    WIZARA
           

 4.1  WIZARA YA FEDHA

4.1.1        Mhe. Saada Mkuya SALUM (Mb)
                        Waziri wa Fedha
                 Mhe. Mwigulu Lameck NCHEMBA (Mb)      
                        Naibu Waziri wa Fedha
4.1.2       Mhe. Adam Kighoma Ali MALIMA (Mb)
                         Naibu Waziri wa Fedha

                    
4.2       WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
Hakuna mabadiliko

        
4.3    WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

4.3.1     Mhe. Dkt. Asha-Rose Mtengeti MIGIRO (Mb)
                        Waziri wa Katiba na Sheria

4.3.2      Naibu Waziri - Hakuna mabadiliko


4.4   WIZARA YA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI
                        Hakuna mabadiliko


4.5    WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA
        
4.5.1     Waziri - Hakuna mabadiliko

4.5.2   Mhe. Janet Zebedayo MBENE (Mb)
                    Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara


4.6       WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA

            Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi (Mb)
                    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa

        
4.7     WIZARA YA UJENZI
                        Hakuna mabadiliko


4.8    WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

4.8.1     Mhe. Mathias Meinrad CHIKAWE (Mb)
                       Waziri wa Mambo ya Ndani
                    
4.8.2      Naibu Waziri - Hakuna Mabadiliko
        

4.9    WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII

4.9.1       Mhe. Dkt. Seif Seleman RASHIDI (Mb)
                        Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii

4.9.2      Mhe. Dkt. Kebwe Stephen KEBWE (Mb)
                        Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii


4.10   WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI

4.10.1    Waziri:  Hakuna mabadiliko

4.10.2  Mhe. Jenista Joakim MHAGAMA (Mb)
                        Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi


14.11  WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO

14.11.1  Waziri: Hakuna mabadiliko

14. 11.2 Mhe. Dkt. Pindi Hazara CHANA (Mb)
                        Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto


14.12  WIZARA YA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI

14.12.1 Mhe. Dkt. Titus Mlengeya Dismas KAMANI (Mb)
                        Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi

14.12.2   Mhe. Kaika Saning’o TELELE (Mb)
                        Naibu Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi


14.13   WIZARA YA KAZI NA AJIRA
                        Hakuna mabadiliko
                                                           
14.14   WIZARA YA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA
                        Hakuna mabadiliko

14.15  WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI

14.15.1  Waziri - Hakuna mabadiliko

14.15.2  Mhe. George Boniface Taguluvala SIMBACHAWENE (Mb)
                        Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi


14.16  WIZARA YA MAJI

14.16.1  Waziri - Hakuna mabadiliko

14.16.2  Mhe. Amos Gabriel MAKALLA (Mb)
                        Naibu Waziri wa Maji


14.17  WIZARA YA KILIMO, CHAKULA NA USHIRIKA

14.17.1  Waziri - Hakuna mabadiliko

14.17.2   Mhe. Godfrey Weston ZAMBI (Mb)
                        Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika


 4.18   WIZARA YA UCHUKUZI
            Hakuna mabadiliko


4.19   WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO

4.19.1  Waziri -  Hakuna mabadiliko

4.19.2  Mhe. Juma Selemani NKAMIA (Mb)
                        Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo


4.20     WIZARA YA MALIASILI NA UTALII

4.20.1 Mhe. Lazaro Samuel NYALANDU (Mb)
                        Waziri wa Maliasili na Utalii

 4.20.2 Mhe. Mahmoud Hassan MGIMWA (Mb)
                        Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii

4.21     WIZARA YA NISHATI NA MADINI

4.21.1     Waziri - Hakuna mabadiliko

4.21.2    Naibu Waziri (Madini) - Hakuna mabadiliko

4.21.3  Mhe. Charles Muhangwa KITWANGA (Mb)
                        Naibu Waziri (Nishati)


Balozi Ombeni Y. Sefue
KATIBU MKUU KIONGOZI

Wednesday, January 8, 2014

THE REPORT OF SSPRA STUDY TOUR AT THE UNIVERSITY OF NAIROBI KENYA. 20TH NOV-23RD NOV 2013.

ST. AUGUSTINE UNIVERSITY OF TANZANIA
P.O BOX 307, MWANZA

SAUT STUDENTS PUBLIC RELATIONS ASSOCIATION (SSPRA)
(Tel: +255755154215, +255765058711, +255712414444 Email: sspra2011@gmail.com)




THE REPORT OF SSPRA STUDY TOUR AT THE UNIVERSITY OF NAIROBI KENYA.
20TH NOV-23RD NOV 2013.
                                                             Approved by:
Sezalia Mwidima  (Head of department)   
Signature…………………. Date…………………

Frank Katabi  (Patron)
Signature………………….Date………………….

Mwl. Lila Sayi Mandu   (Head of the Journey)
Signature………………… Date………………….













ABSTRUCT
This report includes various activities held by SSPRA members during their study tour at Nairobi University of Kenya. The study aimed at learn more about How Public relations practiced in other countries, Exchanging academic ideas with members of Public relations Society of Kenya (PRSK), To extend more our professional so that it could be known in the regional East Africa and to increase Exposure to SSPRA members, Also networking and Advertising our university outside of the country were one of our role as a public relation personnel. The tour was successfully and of joyfully.
















Acknowledgement
As SSPRA we are first acknowledging St. Augustine University of Tanzania Management for facilitating the accomplishment of our tour thus are VC, DVCAA, Principal AMUCTA,  HOD for Department of Public Relations and Advertising, Patron, Mr. Lila Mandu, PRO, Bursar, Dean of Students, Nairobi University Management particularly the school of Humanities and Social sciences. We can’t write everyone who contributed for the success of this tour but we provide thanks everyone who contributed in one way or another for the accomplishment of the tour. It very sure that we had a nice tour and we have learn a lot from the Kenya and we promise to take into consideration a good thing we have learn from Kenya.
















LEADERS 2013/2014
Chairperson ……………………………………………………………Sing’ambi Athanas Y
Vice Chairperson ………………………………………………………Makura   Ndege
General Secretary ………………………………………………………Mbwaga Amani E
Deputy General Secretary ………………………………………………Ephraim Rodriche
Public Relations Officer ………………………………………………  Athanas Mathias
Treasurer …………………………………………………………………Kyando Zawadi

LEADERS FROM AMUCTA
Chairperson …………………………………………………………….. Mumwi Patricia A.
Vice Chairperson ………………………………………………………..Nzagi Richard
Treasure…………………………………………………………………..Mushi Clara











INTRODUCTION
SSPRA is an academic association for Public Relations students at St. Augustine University of Tanzania operating independently, in accordance with the laws of St. Augustine University of Tanzania and the Constitution of the United Republic of Tanzania. It was founded on December 5, 2009. The association has been established for the pursuit of highly qualified Public Relations professionals with ethical values.
Vision
To have a well-educated cooperate society in Tanzania on the profession of Public Relations.
Mission
To impart knowledge of Public Relations profession in order to understand, appreciate and reflect it to the Tanzanian, East African, African community and the World at Large.
Objectives
·         To make sure Public Relations as a profession is effectively understood and well accepted by the Tanzanian community, and East African Community.
·         To sensitize the public on accepting Public Relations as a profession
·         To strengthen and show the importance and roles of Public Relations Practitioners in Mwanza community and the country at large
In achieving these above Mission and Objectives, the association has committees that help it in its daily operations and making sure that all members are effectively incorporated in the activities of the association and that everyone gets a chance of practicing the profession of Public Relations. So the following are the SSPRA Committee Which led to the accomplishment of Vision and mission of SSPRA.
·         Persuasion committee
·         Seminar and Training committee
·         Media and Publication committee
·         Debate and Forum committee
·         Ethics and Professionalism committee
·         Outreach and Tour study committee
SSPRA encourages professionalism, Credibility and integrity amongst members of the associations. It also has plan to extend our networks extensively within the reach of East Africa. To achieve that:-
  • SSPRA conduct a study tour to at Nairobi University of Kenya from 20th November to 23th November, 2013. With the aim of learn more about How Public relations practiced in other countries, Exchanging academic ideas with members of Public relations Society of Kenya (PRSK), To extend more our professional so that it could be known in the regional East Africa and to increase Exposure to SSPRA members, Also networking and Advertising our university outside of the country were one of our role as a public relation personnel..
·         Also we had Academic Talks, seminar from Public relations society of Kenya (PRSK), Paper presentation, Debate and Forum. And among of the theme of paper presentation is “how public relations practiced in Tanzania”.
ORGANISATION OF THE TOUR
We started to communicate with students of Nairobi university through Mr. Lila Sayi Mandu (Ass. Lecture at department of Public Relations & Advertising SAUT.) Who coordinated  with the Faculty of HUMANITIES & SOCIAL SCIENCES, Under the School of Journalism & Mass communication with the students who pursue Public Relations since may 2013 up to November 2013 whereby we got a good response which resulted to accomplish our plan we received the invitation letter from the colleague of Humanities & Social sciences under the school of Journalism and Mass communication (SOJMC) from the university of Nairobi, with collaboration of Public relations society in Kenya (PRSK).

THE SUCCESSFUL OF THE NAIROBI UNIVERITY STUDY TOUR
Our study tour to Nairobi University was successfully conducted where SSPRA members gained the following.
Ø  Exposure to the students
Ø  Networking and capacity building to the students
Ø  Increasing Experience to the student
Ø  Exchanging ideas, opinions about public relations professional
Ø  To Advertising our university as one of our role of SSPRA

PARTICIPANTS
Lectures from the department of Public Relations & Advertising
1.      Mr. Lila sayi Mandu
2.      Mr. Denis Ikachoi
3.      Twenty (20) Public relations students from Mihayo University College of Tabora  (AMUCTA)  a constitute colleague of St .Augustine University of Tanzania as in the following list
SN
NAME
REG NO
1
SWAI  AGAT
AM/BAPRM/12417
2
MUSHI CLARA
AM/BAPRM/12448
3
WILLIUM HAPPINESS
AM/BAPRM/12467
4
NGOWI ROSADA .L.
AM/BAPRM/12412
5
MLAGALILA OLPA
AM/BAPRM/12443
6
MUMWI PATRICIA. A.
AM/BAPRM/12447
7
FAITH GABRIELLA
AM/BAPRM/12428
8
NDEMELA WINFRIDA
AM/BAPRM/12450
9
MAYALA ALEX
AM/BAPRM/12417
10
WILFRED GETRUDE
AM/BAPRM/12419
11
RWEGOSHORA GLORIA
AM/BAPRM/12482
12
PASIAN ELIZABETH
AM/BAPRM/12414
13
MITONDWA RESTITUTA
AM/BAPRM/124
14
KIJUU MAGDALENA
AM/BAPRM/12404
15
NZAGI RICHARD
AM/BAPRM/12453
16
SALDADAA MARIA
AM/BAPRM/12416
17
MOTTE ZENNA
AM/BAPRM/12445
18
ROBERT ANGEL
AM/BAPRM/12458
19
ALEX SILIYAKO
AM/BAPRM/12476
20
CONSTATINE NEEMA
AM/BAPRM/12427

4.       Thirty three (33) Public relations students from SAUT Main campus, Mwanza.
S/N
NAME
SEX
YEAR/STUDY
REG NO
1
ALEX JACQUELINE
F
III
27929
2
ANSELMI ELIZABERTH J
F
I
42529
3
BAHA ISACK
M
III
27952
4
BAKANA ANGEL
F
II
37273
5
ERNEST EMMENUEL
M
III
27605
6
ESTHER VENANCE
F
III

7
JAMHURI KAIRO
M
II
37351
8
KANOGA SAMWELI
M
II
37376
9
LYIMO JOSEPH
M
I
42597
10
MAGAMBO LUKAS
M
II
37423
11
MAKURA NDEGE
M
II
37446
12
MALGORY JACKLINE C.
F
I
116
13
MANYERERE THOMAS
M
III
28196
14
MASSAWE ARKADI A.
M
I
42605
15
MBWAGA AMAN E
M
III
28248
16
MUNISH GRACEANA
F
I
42630
17
MWINYI SHEILLA
F
III
28689
18
NASSARY JESCA
F
II

19
 NGALULA LUCY
F
II

20
SAKIT LEMBRIS
M
II
37641
21
SAMWEL TINA
F
II
37646
22
SING,AMBI ATHANAS
M
III

23
SLIM KHALFAN
M
III
28483
24
TEMBA GLORIA
F
III

25
TEMBA NOREEN
F
II
37680
26
VEDASTO ELIVIAN
M
III

27
MFINANGA ANASTAZIA
F
III
28670
28
KAPAMA CHRISTINA
F
III
28631
29
EPRAIM RODRICHE
M
II
37727
30
ZAWADI KYANDO
M
III

31
WILLIAM FURAHA
F
II
37698
32
ATHANAS MATHIAS
M
III

33
THOMAS LAURENT
M
II




TRANSPORT
We thank, we succeed to use the university bus through the good corporation of university Administration. Although there at last minute changes on the cost of using the university bus from 1.5 million to 2.5 million which affected much on our budget and tour and lead us to run under the crisis of 1 million. But we thanks God we survived to live in Kenya for two days comfortably.
On Tuesday 19th November, 2013 at 14:30 we received the guests from the University of AMUCTA a constituent college  of St. Augustine university of Tanzania from Tabora  who are the students pursuing Bachelor’s Degree of Public Relations and Marketing from  SSPRA Members.
The SSPRA Members at the University bus during the Journey to Nairobi-Kenya.
Also on the same day we were succeed to process all Emergency Travelling Documents from the Regional office of Immigration in Mwanza city.

On Wednesday 20 November 2013 at 05:45am We started our journey From our university in Mwanza To Nairobi, but we reach  to the boarder of Tanzania known as  SILARI at  11:00 am where we starting processing our travelling documents and exchanging the money from Tanzania to Kenyan also issuing the insurance of the Bus. That process take almost 3 Hrs. so at 14:00 HRS we started our journey from Silari to Nairobi. And at 22:00HRS, we reach in Nairobi Kenya.
On Thursday 21st November 2013. We succeed in visiting different important areas at the Nairobi city. Some of the area which we visit are Exhibition of Kenyan Industrialization week  at  KENYAN INTERNATIONAL CONVENTION CENTER  (KICC) where by the student visits different Exhibitions which help us to increase networking and exposure.
Also we visted JOMO KENYATA GRAVE, The Historical Catholic Cathedral church mission of Nairobi., The USA ambassadors Office which was Bombed by the Terrorist in Kenya. Also we visit UHURU PARK GARDEN which is an attractive area, having a conducive environment.
                                The SSPRA Members at KICC in Nairobi KENYA.


On Friday 22nd November, 2013 we conduct an Academic Talk at the main campus of the University of Nairobi from 8:30am up to 15:30pm whereby we succeed in Advertising our University  through providing them the General  information about our university including the course offered, we also use different publications which we took from Public relations office and provide them for more information such publications are Flyers, Brochures and Prospectus which have more information about our university.
Through that Academic Talk with our fellow students of School of Journalism and Mass communication and the Members of Public relations society of Kenya (PRSK) we benefit and we increase Exposure, Networking, Experience, and sharing ideas about Communications and Public Relations at all. Also we have got different Expertise and famous people in Kenya whom they came and present their paper about different communications and Public relations issues. And some of them are as follows;
1.      BY: PROF. OKUMU-BIGAMBO, W. (PHD, MA, PGDE, and BA)
Consultant/Trainer of Trainers: Communication and Public Relations; Dept of Communication Studies; School of Human Resource Development; Moi University;
      P.O.Box 8630-30100 Eldoret, Kenya; Tel. 0722356211;
      Email: Wobigambo@Yahoo.Com
     He present about Public Relations: The Art and the Profession
2. David Ohito
Worked at Standard Group (standard Digital News –kenya)
Past worked at KTN  TV, He studied Media and Politics at MOI,POYNTER INSITUTE  and Past at Nairobi University.
He present about Media in Digital Age and Media convergence etc.
3. Jay Bonyo
Worked at Nation Media  Group as a Chief Editor 
He present about the media and importance of Networking as a communicators personnel
4.Shisiha Wasilwa
Sub Editor, Royal Media Service, anchor news reporter and also stories editor Before joining Royal Media he was Worked at Kenya Broadcasting Corporation  
(KBC)
He present about the role of Swahili Language In the media house of Kenya.
Mr  Jay Bonyo presenting his paper about media to the sspra and the students of Nairobi
After that academic talk we started our jurney to be back to Tanzania  at 15:30HRS And also we pass through the Riftvalley of Kenya. On 23rd November we reached in  Mwanza city Tanzania  at 13:00Hrs. and that could be the end of our journey.

CHALLENGES.
No success can be achieved out of the bloom, This means that even though we enjoy and succeed to our study tour ther are some of the challenges that encountered such as;
Ø  Budget deficit, this is due to the increasing of the cost of the University Bus for transport from 1.5 million to 2.5 million resulted to the crisis.
Ø  Lack of resources and facilities such as Camera/Professional video camera which led to the failure of taking a good Documentary which can be memorable to everybody and for the benefit of the new coming students to our university.
Ø  Time Management, This affect us due to some of members who Delayed in Paying the contribution at right time .This led to the failure of some activities which  is planned.
Ø  Lack of Funds, to run the study tour activities this also is the big challenge to our association, especially during our study tour to Nairobi where by each and everything were depending from the Members contribution.
Ø  Few numbers of sponsors, this also affect us in our association, because if we get different sponsors it will help us to boost our budget especially when we got the crisis of 1 million which taken by the university the last day of our journey.
RECOMMENDATIONS.
Ø  We request the university to help us in reducing the cost of using the University bus. And if possible to be given the fuel and bus for our different study tour, and for us we may contribute to our Meals and Accommodation this is due to the fact that all our study tour must have the positive impact to our University, such as to Advertise our university through different ways such as our T-shirt which identify us as the students from SAUT, through the university bus which express itself, also through presentation flyers Brochures and other publications. And also to build mutually relationship with other organization which help the students to increase exposure making practice of our professional and Networking.
Ø  To continue providing us the more corporation concerning our activities so that we can accomplish our vision and mission which is very important in building our university image and reputation to the community Tanzania, East Africa and World at Large  .
Ø  Also to increase more sponsors within our Association who will sometimes boost our Budget, especially to our study tour and outreach programs.
Ø  The university Administration to help us  some of the important facilities  such us  Professional video Camera, and enough stationary to run our daily activities such as Preparing  different Advertising concerning our university such as  posters flyers, brochures  Burners and other publications and this will help the student to make more practical concerning  the Public Relations Professional.
Ø  The university may Make consultation with Pr. Migambo from University of Moi so that he can provide seminar about Public Relations

CONCLUSION
We thank God, and each and everyone who contributed in one way or another in our tour. Thank you for Join Our Professional Hands in Building the City of God

“We beg to Hand over”

……………..........                                                                                           ……………………..
Mbwaga Amani E,                                                                                             Sing’ambi Athanas
Secretary-General (SSPRA)                                                                           Chairperson (SSPRA)