Friday, February 21, 2014

MATOKEO 2013: ANGALIA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2013 HAPA


Matokeo ya kidato cha nne yaliyofanyika mwanzoni mwa mwezi November, 2013 yametoka 
Matokeo ya Kidato cha nne 2013 huku kiwango cha ufaulu kikiwa kimepanda kwa asilimia 15.17 kutoka asilimia 43.08 mwaka 2012 hadi 58.25 mwaka 2013.

Watahiniwa wafaulu zaidi katika somo la Kiswahili (67.77%), na wafanya vibaya zaidi Basic Mathematics (17.78%).

Je, nini maoni yako kuhusu matokeo haya? Weka maoni yako hapa.
unaweza kuangalia hapa kwa kuclick link hii 

BOFYA HAPO MATOKEO UYAPATE VIZURI KABISA
SOURCE: Nyanja.

No comments:

Post a Comment