Sunday, May 18, 2014

CLOUDS FM SPORT XTRA BONANZA LAFANA SANA LEO JIJINI MWANZA.

Mashindano ya Bonanza la CLOUDS FM Lijulikanalo kama SPORTS XTRA BONANZA Limefanyika na kufana sana leo jijini Mwanza Ktk Viwanja vya RAILA ODINGA Ndani ya CHUO KIKUU CHA MT.AGUSTINO JIJINI MWANZA.
Clouds Fm Team ( The Dream Team at RAILA GROUND SAUT-MWANZA) With AMAN MBWAGA.

Clouds fm Team

SHAFIII DAUDA Akitoa maelekezo Kwenye Timu yake wakati wa michuano ya Bonanza


Aman E. Mbwaga Meneja Uhusiano wa Umma Na Masoko akiwa na Mbwiga Wa Mbwiguke wa CLOUDS FM

Amani Mbwaga Akiwa na Henry Joseph Mchezaji wa Timu ya Taifa Tanzania.

Baadhi ya Wanafunzi wa SAUT Waliohudhuria Bonanza hilo.

AMAN MBWAGA With SHAFII DAUDA

AMAN MBWAGA With ALEX LUAMBANO


Optatus Mazwile With Alex Luambano


Kushoto SHAFII DAUDA Katikati HALFANI NGASSA
( Baba yake na Mrisho Ngasa Mchezaji wa YOUNG AFRICANS ) Na Kulia  Ni Mbwiga










AMBULANCE YA JESHI LOA WANANCHI NALO LILIKUWEPO KUSINDIKIZA BONANZA HILO



Timu Ya NMB Mwanza  na a kulia mwishoni ni Meneja wa NMB kanda ya Ziwa Mara baada ya kutinga Fainali.


Timu ya CHUO SAUT iliyonyakuwa Ubingwa wa Sport xtra Bonanza kwa Mikwaju ya Penati mara baada ya kutoka Sare ya bila kufungana







Shafiiii Dauda







Wanafunzi  wakishanglia Ushindi 


Rev FR. Maziku SPORTS COORDINATOR SAUT. Kwa niaba ya chuo Akiwashukuru CLOUDS fm na Makampuni mengine Yaliyoshiriki.

Hapa akifanya Mahojiano na Clouds TV

Meneja wa NMB akitoa Hotuba Fupi kabla ya kukabidhi Makombe kwa washindi

Meneja Msoko Kanda ya Ziwa nae akitoa Machache.

Meneja Masoko wa Vodacom Nae Akitoa Machache

DAUDA Akimtambulisha Waziri wa Michezo SAUT. Bwana Peter Bega


Captain Wa Timu Ya NMB Wakikabidhiwa kombe la Mshindi wa Pili



Kushoto Rais wa Wanafunzi SAUT katikati ni Calvin Captain Timu ya Chuo Akipokea Zawadi ya Kombe la Mshindi wa Bonanza la Sports Xtra 2014/2015


Timu ya SAUT ikisheherekea Ushindi
Shafiii Dauda Akihitimisha na Kuwashukuru wadau wote wa soka na Clouds fm Walioonesha Ushirikiano Mkubwa ktk Mashindano hayo.

Timu ya SHERIA MWAKA WA NNE Imeingia Fanali FAWASCO- SAUT. mara baada ya Bonanza

Timu ya Masscommunication Fawasco -SAUT