Tunawashukuru sana wale wote walioweza kupiga kura na kumuwezesha ndugu yetu kushinda urais.
mungu awabariki sana na tumpe ushirikiano zaidi il serikali yake iwe yenye mafanikio zaid kuliko serikali zilizopita.
![]() |
MH: RAIS WA JAMHURI YA WANAFUNZI WA SAUT-MWANZA TANZANIA |
![]() |
MAKAMU WA RAIS BI. MROSSO EMMILINE. |
![]() |
Mh: Rais kulia akiwa na makamu wake . |
![]() |
Jengo lililotumika kuhesabia kura za urais na wabunge, MWANJONDE LECTURE THEATER. |
![]() |
Mh: Rais akitoa tabasam safiiiiiiii. |

![]() |
Bodaboda nao hawakua nyuma kuweza kushangilia rais wa chuo kikuu SAUT |
![]() |
wanafunzi SAUT wakimshangilia rais wao mpya |
![]() |
Aman E. Mbwaga kulia akiwa na rais mpya wa chuo kikuu SAUT. |
No comments:
Post a Comment