Sunday, April 14, 2013

RAIS MPYA WA CHUO KIKUU CHA MT.AUGUSTINO 2013/2014

MH: DOVKMWENE MSCHESH  RAIS MPYA WA CHUO KIKUU CHA MT. AUGUSTINO 2013/2014 KUTOKA KOZI YA MAHUSIANO YA UMMA NA MASOKO, SAUT-MWANZA.

Tunawashukuru sana wale wote walioweza kupiga kura na kumuwezesha  ndugu yetu kushinda urais.
mungu awabariki sana na tumpe ushirikiano zaidi il serikali yake iwe yenye mafanikio zaid kuliko serikali zilizopita.
MH: RAIS WA JAMHURI YA WANAFUNZI  WA SAUT-MWANZA TANZANIA
MAKAMU WA RAIS BI. MROSSO EMMILINE.
Mh: Rais kulia akiwa na makamu wake .
Jengo lililotumika kuhesabia kura za urais na wabunge, MWANJONDE LECTURE THEATER.
Mh: Rais akitoa tabasam  safiiiiiiii.



   






Bodaboda nao hawakua nyuma kuweza kushangilia rais wa chuo kikuu SAUT

wanafunzi  SAUT wakimshangilia rais wao mpya
Aman E. Mbwaga kulia  akiwa na rais mpya  wa chuo kikuu SAUT.

No comments:

Post a Comment