![]() |
| Rev Fr Dr Mkamwa Thadeus akifungua sherehe kwa maombi |
![]() |
| Mh. samweli sitta kushoto akiteta jambo na makamu mkuu wa chuo Rev Fr. Dr Charles Kitima |




![]() |
| Meza kuu ikisikiliza risala kutoka kwa wanachama wa SSPRA |
![]() |
| Mwenyekiti wa SSPRA Athas sing'ambi akisoma risala mbele ya mgeni rasmi |
![]() |
| Mwenyekiti akikabidhi risala kwa mgeni rasmi |
![]() |
| Mameneja Mahusiano ya umma wa chuo kikuuu SAUT |
![]() |
| Baadhi ya wahitimu wa SSPRA |
![]() |
| Mh waziri wa Afrika mashariki Samweli Sitta akiwahutubia wanacham na wahitimu wasspra. |
![]() |
| Makamu mkuu wa chuo padi Dr charles Kitima akitoa nasaha zake kwa sspra wanaohitimu na wanaobaki |
![]() |
| Dr Thadeus Mkamwa akitoa neno kwa wahitimu |
![]() |
| Mlezi wa SSPRA Lect Mrisho akitoa nasaha zake kwa wahitimu |
![]() |
| Anamkaribisha mkuu wa idara ya mahusiano ya umma na Matangazo |
![]() |
| Mr Albert TIBAIJUKA mlezi wazaman wa SSPRA akiwa na Mrs mwidima mkuu wa idara |
![]() |
| Mr Makonda Rais wa vyuo vikuu Tanzania |
![]() |
| Mr Ngonyan c mwenyekiti wa SSPRA Mstaafu |
![]() |
| Mr Aman E Mbwaga Katibu mkuu wa SSPRA Akifurahia kombe la FAWASCO |
![]() |
| Baadhi ya wachezaji wa PR 3 waliowezesha kuchukua kombe lililetwa kwa mgeni rasmi ili ashuhudie vipaji vilivyoko kwa mameneja mahusiano na masoko |
![]() |
| Mgeni Rasmi akipga makofi baada ya kukata Keki |
![]() |
| Baadhi ya wakufunzi waliohudhuria maafali ya 3 ya SSPRA wakiongozwa na Ms Adeline Mpuya |
![]() |
| Mr MAHAMBA kushoto Mr mpagaze D na mwisho ni Mr lila s Mandu wahadhiri wa SAUT. |
![]() |
| Rais wa chuo SAUT kushoto na Katibu mkuu SSPRA kulia wakitoa burudan |
![]() |
| Naye mwaenyekiti SSPRA Hakubaki mbali |

























No comments:
Post a Comment